Return to BahaiPrayers.net
Facebook
Nimeamka katika himaya Yako, Ee Mungu wangu, na imembidi Yule ambaye anatafuta himaya hiyo kudumu ndani ya kimbilio la hifadhi Yako na Ngome ya Kinga Yako. Angaza moyo wangu, Ee Bwana wangu, kwa utukufu wa Mapambazuko ya Ufunuo Wako kama ulivyoangaza mwili wangu kwa mwangaza wa asubuhi wa fadhili Yako.
- Bahá'u'lláh