Return to BahaiPrayers.net
Facebook
Ee Mungu, changamsha na uifurahishe roho yangu. Takasa moyo wangu. Ng’arisha fikira zangu. Naacha shughuli zangu zote mikononi Mwako. Wewe U kiongozi na kimbilio langu.. Sitakuwa na majuto wala kuhuzunika tena, nitafurahi na kuchangamka. Ee Mungu! Sitajawa na mashaka tena, wala sitaacha taabu zinisumbue tena. Sitaishi kwa vitu visivyofaa maishani.
Ee Mungu! Wewe U rafiki kwangu zaidi ya mimi nilivyo mweneyewe kwangu. Najitoa mwenyewe Kwako, Ee Bwana.
- `Abdu'l-Bahá