Return to BahaiPrayers.net
Facebook
Ee Bwana Mungu wangu! Wasaidie wapendwa Wako kuwa imara katika Imani Yako, kutembea katika njia Zako, kuwa dhabiti katika Hoja Yako. Wape neema Yako kuzuia mashambulio ya nafsi na tamaa, kufuata mwanga wa Uongozi Mtakatifu. Wewe ni Mwenye nguvu, Mwenye rehema, Aishiye Mwenyewe, Mpaji, Mwenye huruma, Mwenyezi, Karibu) kabisa.
- `Abdu'l-Bahá